HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 14, 2017

VODACOM YATANGAZA KUFANYA VIZURI NUSU YA KWANZA YA MWAKA

Vodacom Tanzania PLC (“Vodacom”) leo imetangaza matokeo ya uendeshaji ya  hesabu zake kwa nusu ya mwaka ulioishia Septemba 30, 2017. Kampuni hiyo imetangaza kuimarika kwa matokeo ya biashara ukijumwisha Matokeo ya biashara yalikuwa mazuri ikiwemo ukuaji wa mapato ya huduma, ambayo kwa pamoja yalisababishwa na ukuwaji wa huduma za fedha za M-Pesa na data. Mapato ya huduma nayo yalikua Mtiririko wa fedha huru umekuwa kwa asilimia  kwa asilimia 73.2 hadi shilingi bilioni kufikia  58.3 katika billion kwenye kipindi hicho.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom’s, Bw. Ian Ferrao alisema mwaka , “2017 umekuwa ni mwaka muhimu kwa Vodacom Tanzania. Kwa miezi ya hivi karibunindani ya miezi, zoezi la uuzaji wa tumekamilisha mauzo ya toleo la awali la za awalihisa (IPO), ambalo lilikuwailiyokuwa ni kubwa zaidi katika historia ya soko la hisa la Dar es salaam (DSE) nchini; ku tume  fanya mkutano wetu mkuu wa kwanzawa mwaka, tukiwa kama kampuni ya umma.Na tumetangaza gawio la kwanza kama kampuni iliyoorodheshwa na soko la hisa la Dar es Salaam kutokana na mikakati tuliyojiwekea tumepata matokeo chanya yaliyochagizwa na kasi ya kibiashara,ukuaji thabiti wa mapato yatokanayo na data,M-pesa,na huduma kwa taasisi mbalimbali.Vilevile, biashara yetu imeleta matokeo chanya kutokana na uwezo wa kibiashara na ukuaji wa mapato kwa upande wa data, M-Pesa na huduma nyingine”.

Mkurugenzi huyo alifafanua zaidi kuhusiana na matokeo chanya ya kibiashara nakusema kwamba,“Matokeo haya ya muda mfupi yanatia moyo kwani yanaonyesha kuwa kwamba huduma yetu bora ya mtandao wa hali ya juu kama vile M-Pesa na huduma nyingne zinazozingatia matakwa ya wateja,vilisaidia kukuza biashara ndani katika hali ya ushindani mkubwa wa soko. 
Pamoja na changamoto za kibiashara nchini Tanzania, kuimarisha ukuaji wa tumeweza kudumisha mapato nakukuza  kukuza idadi ya wateja, kuendelea kushikilia nafasi yetu kama kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za simu za mkononi na za kifedha. Hali mafanikio haya hiyo ni matokeo ya kuendelea kwa uwekezaji pale uliinapohitajika tulioufanya katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.  Uwekezaji huo umewezeshaumesaidia ongezeko la kuongeza wigo wa huduma zetu, na kutuweka kwenye nafasi ya mbele kwa upande wa huduma za kifedha na data.
Katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka huu wa fedha, Vodacom imewekeza kiasi cha shilingi bilioni TZS 102.4 bn katikakupanua wigo wa  kuongeza mtandao. “Uwekezaji  huuwa mtandao wetu ulilenga zaidi kuongeza wa mtandaouwezo. Tuliongeza uwezo wa huduma ya data ya 3G kwenye minara yetu iliyopo kwenye miji mikubwa kwa zaidi ya asilimiakw 25 katika miji mikubwa, wakati huo huo tukizindua huduma ya 4G kwenye majiji matatu, na kuboresha huduma hiyo kwenye jiji la Dar es Salaam. 

Kwa kushirikiana na wabia wetu za gharama nafuuKampeni yetu ya simu rahisi za mkononi za kisasa “Smartphone” ilifanikiwa sana, kwani ushahidi umeonyesha kwamba ilikua Ukuaji wa idadi ya wateja hadi kufikia asilimia 27 ya soko la simu . Wakati tumeingiaTunapoingia katika  nusu ya pili ya mwaka wetu wa fedha, tutaendelea kukuza huduma na matumizi ya data ikiwemo kwa simu zisizo ambazo sio Smartphones na walekwa wateja  wanaotumia kiwango kidogo cha data.

 Kwa kupitia lengo letu la kuongeza wigo wa huduma, tutaendelea kuwa kwenye nafasi ya kwanza dhidi ya washindani wetu katika kiwangoKwa kutilia mkazo ubora wa mtandao na huduma kwa wateja,tutadumisha nafasi yetu kama kinara wa huduma bora iliyokubalika zaidi na wateja na kuendelea kushirikilia usukani dhidi ya washindani wetu cha juu,” alisema Ferrao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad