HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 13, 2017

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA.

  Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia) alipotembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia) alipotembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (wa pili kushoto), Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia) na Mkuu wa kitengo cha siasa wa Ubalozi wa China nchini Tanzania, Ndg. Liang Lin (kulia) pale ugeni kutoka ubalozi huo ulipomtembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) akizungumza na Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto), Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (wa pili kushoto), pamoja na ugeni kutoka ubalozi wa China nchini Tanzania, katika kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Spika Mjini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Wang ke (wa pili kushoto) katika kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Spika Mjini Dodoma, katikati ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson na Wageni wengine ni wasaidizi wa Balozi kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania.
 Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akipokea zawadi toka kwa Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Wang ke (kushoto) baada ya kikao kilichofanyika leo katika Ofisi ya Spika Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Balozi Wang ke (kulia), Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kushoto) baada ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad