HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 25, 2017

WARSHA YA KITAIFA YA MABORESHO YA HUDUMA ZA UMMA NA UTOAJI MADARAKA KWA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YAMALIZIKA MKOANI DODOMA.

 Naibu Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.Susan Mlawi akizungumza wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
 Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Profesa Joseph Semboja akizungumza wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Aggrey Mwanri akizungumza wakati wa kufunga  warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.
 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Richard Kasesela akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Fabian Daqqaro wakati wa kufunga warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma.

Baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya  walioshiriki katika warsha ya kitaifa ya maboresho ya huduma za umma na utoaji Madaraka  kwa tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa uliofanyika  katika ukumbi wa Hazina leo Mkoani Dodoma wakifuatilia mada mbaimbali.
Picha zote na Daudi Manongi,MAELEZO, DODOMA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad