Mmoja wa Vibarua wanaochimba mtaro wa kutandika bomba la maji linaloelekea Mbezi Makabe akiwa anaendelea na kazi ya kuchimba mtaro
Bomba la Maji Safi kutoka Dawasco ambalo limetandikwa ndani ya mtaro kuelekea Mbezi Makabe mpaka Msakuzi kwa ajili ya kupeleka maji safi , Wakazi wa eneo hilo wanapata maji ya Bomba kwa mara ya kwanza katika utawala wa awamu ya tano ya Dk John Pombe Magufuli tangu nchi hii ipate uhuru
Kibarua wa kuchimba mtaro akiendelea na kazi ya kuchimba mtarokwa ajili ya kupitisha bomba la Maji ya Dawasco katika eneo la Mbezi Makabe mpaka Msakuzi
Bomba la Maji likiwa limetandikwa kwenye mtaro tayari kwa ajili ya kufukiwa kwa ajili ya kupeleka maji Mbezi Makabe mpaka Msakuzi . Picha zote Na Humphrey Shao
No comments:
Post a Comment