HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 3, 2017

TIMU ZA TANZANIA KIKAPU ZAANZA VIBAYA MICHUANO YA KANDA YA TANO AFRIKA



Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Timu tatu za Tanzania za mpira wa kikapu zimeshindwa kutamba mbele ya timu kutoka nchi zingine katika mashindano ya klabu bingwa kanda ya tano yanayoendelea katika jiji la Kampala nchini Uganda.

Michuano ya Klabu  Bingwa kanda ya tano (Zone 5) yameanza jana huku timu za Tanzania zikionekana kuanza vibaya, wanaume wakianza kwa hatua ya makundi na wanawake wakianza kwa mtoano.

Tanzania imewakilishwa na Savio na  ABC kwa upande wa wanaume na DB Lioness kwa upande wa wanawake. Matokeo ya siku mbili ya michuano ya kanda ya tano yanayoendelea jiji la Kampala.


Day 1

APR 45 (Rwanda ) /KCCA (Uganda) 57 -wanawake


UCU 108 (Uganda) /Horseed 42 (somalia) -wanawake

Equity Bank  70 (Kenya) / DB Lioness 48 (Tanzania) -wanawake

Hawasa  43(Ethiopia)/ Patriot 110 (rwanda) -wanaume


KPA 108 (Kenya) /Gonder city 35 (Ethiopia) -wanaume

City Oilers  93 (Uganda)/ Savio  46 (Tanzania)  -wanaume


Betway Power  87 (Uganda) / ABC 55 (Tanzania)  -wanaume


Day 2
APR 84 (Rwanda ) /DB Lioness 48 74 (Tanzania) - wanawake

KPA 81 (Kenya)  /ABC 77 (Tanzania )  -wanaume

Patriots  77(Rwanda) /Savio  48 (Tanzania ) - wanaume

KCCA 51 (Uganda) /Equiyt Bank 56 (Kenya) - wanawake

UCU 69 (Uganda) /KPA 68  (Kenya)  - wanawake

City Oliers  111 (Uganda) /Hawasa City  41 (Ethiopia) - wanawake

Betway Power 113 (Uganda) /Gonder City  31 (Ethiopia) - wanaume

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad