HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 24, 2017

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA DUNIA WA WANAWAKE KATIKA MASUALA YA BENKI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Dunia wa Wanawake kuhusu masuala ya Benki uliofanyika kwenye hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Bi. Ineke Bussemaker (kulia) mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Dunia wa Wanawake kuhusu masuala ya Benki uliofanyika kwenye hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jijini Dar es Salaam. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad