HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 16, 2017

Uzinduzi Tawi la NMB Chamwino waja na neema ya madawati

Meneja wa NMB, Kanda ya kati, Straton Chilongola (kushoto) akimkabidhi msaada wa madawati mkuu wa Wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga wakati wa ufunguzi wa tawi la benki ya Nmb, msaada huo wa madawati una thamani ya shilingi milioni 20. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga (watatu katikati) akikata utepe ikiwa ni ishara ya kufungua rasmi tawi jipya la Benki ya NMB Chamwino Mkoani Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga akitoa kitambaa ikiwa ni ishara ya ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya NMB la Chamwino Mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad