Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji na Sheria wa Bodi ya Michezo ya
Kubahatisha nchini, James Mbalwe(kulia) na Afisa habari wa M-BET,David
Malley(katikati)wakimsikiliza
mshindi waM-BET aliyejishindia zaidi ya shilingi milioni 118/- Erick
Matey,Ambaye ni mkazi wa mkoa wa Lindi,Wakati wa hafla fupi iliyofanyika
jijini Dar es Salaam ya kumkabidhi mshindi huyo hundi yake
aliyojishindia
kupitia mchezo wa kubahatisha Supper 12 unaoendeshwa na M-bet.
Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji na Sheria wa Bodi ya Michezo ya
Kubahatisha nchini, James Mbalwe(wapili kushoto) na Afisa habari wa
M-BET,David Malley(kulia)wakimpongeza
kwa kumpigia makofi mshindi wa zaidi ya shilingi milioni wa zaidi 118/-
Erick Matey ambaye ni mkazi wa mkoa wa Lindi,Wakati wa hafla fupi
iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya kumkabidhi mshindi huyo hundi yake
aliyojishindia
kupitia mchezo wa kubahatisha Supper 12 unaoendeshwa na M-bet.
Mshindi wa kitita cha zaidi ya shilingi milioni wa zaidi 118/- Erick
Matey ambaye ni mkazi wa mkoa wa Lindi(kushoto)akikabidhiwa hundi yake
na Afisa habari wa M-BET,David
Malley(kulia)anaeshuhudia katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji
na Sheria wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, James Mbalwe.
Mshindi wa kitita cha zaidi ya shilingi milioni wa zaidi 118/- Erick
Matey ambaye ni mkazi wa mkoa wa Lindi(kushoto)akiwaonesha hundi yake
waandishi wa habari(hawapo
pichani) Wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya
kumkabidhi mshindi hiyo aliyojishindia
kupitia mchezo wa kubahatisha Supper 12 unaoendeshwa na M-bet,Wapili kushoto ni
Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji na Sheria wa Bodi ya Michezo ya
Kubahatisha nchini, James Mbalwe na Afisa habari wa M-BET,David Malley.
Mshindi wa kitita cha zaidi ya shilingi milioni wa zaidi 118/- Erick
Matey ambaye ni mkazi wa mkoa wa Lindi,akiwa ameshikilia hundi yake mara
baada ya kukabidhiwa rasmi
leo wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ya
kumkabidhi mshindi hiyo aliyojishindia
kupitia mchezo wa kubahatisha Supper 12 unaoendeshwa na M-bet.
Na Mwandishi wetu
MKAZI wa mkoa wa Lindi Mjini,
Erick Matey
mwenye umri wa miaka 26 ameibuka mshindi baada ya kubashiri vyema
matokeo ya mechi kupitia Kampuni ya m-Bet na kujishindia zaidi ya
Shilingi Milioni
118/-.
Matey amekabidhiwa fedha zake leo katika hafla fupi iliyofanyika
jijini Dar es Salaam jana
Kwa
upande wake, Afisa habari wa M-Bet, David Malley alisema kuwa Matey
alifanikiwa kuzoa kitita hicho baada ya kufanikiwa kutabiri matokeo ya
mechi 12 za ligi ya Ulaya kwa mtindo wa kucheza kawaida yaani super 12.
“Tunafarijika kumkabidhi Matey kitita hicho cha aidi ya Sh milioni 118/- akiwa ndiye mshindi wa m-Bet ambapo atapata Sh milioni 97/- baada ya makato ya kodi,” alisema Malley.
Aliwataka watanzania kuchangamkia kutumia mtandao wa intaneti kuonyesha ushabiki halisi wa soka akisema kuwa Perfect 12 ni mchezo wa ziada unaoruhusu kutabiri mechi 12 kwa Tsh 1,000 tu ambapo ukipatia zote unaondoka na kitita chako mchana kweupe.
Naye
Mshindi huyo, Erick Matey amewashauri watanzania wote wenye umri
unaoruhusiwa kisheria kujitokeza kubashiri matokeo ya mechi mbalimbali
kupitia
Kampuni ya m-Bet .
"Nashukuru
sana m-Bet kwa kuniwezesha kujikwamua kimaisha, nitatumia fedha hizi
kutimiza ndoto yangu ya kununua kiwanja na kuanza ujenzi", alisema
Matey
Kuhusu
m-Bet, ni Kampuni iliyosajiliwa chini ya Sheria za Tanzania na kupewa
leseni na Bodi ya Michezo ya kubahatisha tanzania kwa lengo la kufanya
upatikanaji rahisi na mwingiliano wa huduma ya mchezo wa kubahatisha
(Sim Betting) nchi nzima
“Kushiriki, ingia www.m-bet.co.tz, chagua kucheza kawaida au Perfect 12 ambapo kwa Shilingi 1000, unachagua matokeo 12. Ukipata yote sawa, unanyakua kikapu cha m-Bet,” alisema Malley.
No comments:
Post a Comment