HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 25, 2017

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA NA KUWAHUTUBIA WANANCHI WA ITIGI MKOANI SINGIDA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi Kijiji cha Tula Uyui mkoani Tabora waliojitokeza barabarani kumsalimia akiwa njiani kuelekea mkoani Singida leo Julai 25, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikaribishwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt Rehema Nchimbi wakati mheshimiwa Rais alipowasili Mkoani Singida eneo la Itigi ili kufungua Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa na Serikali kwa asilimia mia moja.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Itigi na Manyoni wakati wa Ufunguzi wa Barabara ya Itigi - Manyoni - Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali.
 Wananchi wa Itigi na Manyoni wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwatubia kwenye Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi - Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wapili kushoto na Viongozi wengine wa Mkoa wa Singida, wakiondoa kitambaa kuashiria kufunguliwa rasmi kwa barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5. mkoani Singida leo Julai 25, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Viongozi wengine wa Mkoa wa Singida na Tabora wakikata utepe kama ishara ya kufunguliwa Rasmi kwa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kulia akiteta jambo na Mwakilishi wa Kampuni ya PowerChina International Group Limited nchini Bw. Wang Chao wakati wa Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 mkoani Singida leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwashukuru na kuwaaga kwa kupunga mikono wananchi wa Itigi na Manyoni walioshiriki na Kushuhudia Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya mkoani Singida.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad