Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakiwa Ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam[16:09, 6/19/2017] Karama: Washtakiwa hao wanakabiliwa na uhujumu uchumi kwa kula njama kati ya oktoba 18 ,2011 na Machi 19 , 2014 jiji Dar es Salaam, Afrika Kusini, Kenya na India ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu
[16:10, 6/19/2017] Karama: Kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kati ya Novemba 28/29, 2011 na Januari23,2014 makao makuu Benki ya Stanbic na Benki ya mkombozi tawi St Joseph kwa ulaghai washtakiwa hao wote wawili walijipatia USD 22,198,544.60 na Tsh 309, 461,358.27. Katika shtaka la kusababisha hasara washtakiwa hao wanadaiwackuwa kati ya Novemba 29, 2013 katika Benki ya Stanbic tawi la kati kinondoni kwa vitendo vyao waliisababishia Serikali hasara ya USD 22, 198, 544.60 na Tsh 309,461,158.27
 |
Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakipandishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu jijini Dar es Salaam

Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakipandishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu jijini Dar es Salaam wakitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mara baada ya kukosa dhamana na kutakiwa kupelekwa mahabusu.
|
Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakipakiwa kwenye gari kwa ajili ya kupelekwa Rumande mara baada ya kukosa Dhamana kutokana na Makosa yanayo wakabili
Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakipakiwa kwenye gari kwa ajili ya kupelekwa Rumande mara baada ya kukosa Dhamana kutokana na Makosa yanayo wakabili
Mmiliki wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalila na Mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh wakipakiwa kwenye gari kwa ajili ya kupelekwa Rumande mara baada ya kukosa Dhamana kutokana na Makosa yanayo wakabili
No comments:
Post a Comment