Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB PLC, Dkt. Charles Kimei akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tuzo ya Benki kinara wa
ubunifu Afrika Mashariki “East African Most Innovative Bank of the year”
ambayo Benki hiyo imepewa na jarida la utafiti wa biashara la The
Business Year hivi, Katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Benki
hiyo, Azikiwe Jijini Dar es salaam Juni 29, 2017.
Baadhi ya Tuzo walizopata Benki ya CRDB.
No comments:
Post a Comment