HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 29, 2017

PICHA: YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiwasilisha hati mezani, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura (kushoto) na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi, Mhandisi Stella Manyanya wakiteta  bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017. 
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Fratei Massay akimuuliza swali Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Bungeni mjini Dodoma Juni 29, 2017.  Kushoto ni Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia na katikati ni Mbunge wa Viti Maalum Rita Kabati.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad