HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 3, 2017

WAZIRI PROFESA MBARAWA AKAGUA KITUO CHA UTAFUTAJI NA UOKOAJI –MAGOGONI

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (aliyekaa) akitoa maelekezo kwa wafanyakazi wa Kituo cha Utafutaji na Uokoaji, alipokitembelea kuona shughuli mbalimbali zinazofanywa na kituo hicho kilichopo eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akikagua Mfumo maalumu wa kompyuta unaotumika kuangalia uzito wa Meli zinazoingia nchini wakati alipokagua huduma hizo katika Kituo cha Utafutaji na Uokoaji, kilichopo katika eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akikagua takwimu mbalimbali za huduma zitolewazo na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika Kituo cha Utafutaji na Uokoaji kilichopo eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Katikati) akikagua daftari linaloonyesha kumbukumbu za Meli zinazoingia nchini wakati alipokagua huduma hizo katika Kituo cha Utafutaji na Uokoaji kilichopo eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Katikati) akikagua daftari linaloonyesha kumbukumbu za Meli zinazoingia nchini wakati alipokagua huduma hizo katika Kituo cha Utafutaji na Uokoaji kilichopo eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Kulia) akijaribu kutumia mfumo wa simu kuita Meli inayongia katika bandari ya Dar es Salaam, wakati alipokagua huduma zinazotolewa katika Kituo cha Utafutaji na Uokoaji kilichopo katika eneo la Magogoni Jijini Dar es salaam.

Picha na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano-UUM 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad