HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 4, 2017

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA ELIMU KWA WAHARIRI WA HABARI ZA UCHUMI NA BIASHARA KUHUSU SHERIA YA TAKWIMU YA MWAKA 2015

Kaimu Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi. Joy Sawe akifungua semina ya utoaji elimu kuhusu Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015 kwa Wahariri wa Habari na baadhi ya wamiliki wa Blogs iliyofanyika hivi karibuni mkoani Morogoro.
Meneja wa Idara ya Takwimu za Kodi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Fred Matola akiwasilisha mada juu ya Takwimu Rasmi wakati wa semina ya utoaji elimu kuhusu Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015 kwa Wahariri wa Habari na baadhi ya wamiliki wa Blogs iliyofanyika hivi karibuni mkoani Morogoro.
Baadhi ya Wahariri wa Habari na wamiliki wa Blogs wakifuatilia kwa makini semina ya utoaji elimu kuhusu Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyofanyika hivi karibuni mkoani Morogoro.
Baadhi ya Wahariri wa Habari na wamiliki wa Blogs wakifuatilia kwa makini semina ya utoaji elimu kuhusu Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015 iliyofanyika hivi karibuni mkoani Morogoro.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad