HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 25, 2017

MBUNGE WA NZEGA MJINI HUSSEIN BASHE AKABIDHI GARI LA WAGONJWA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akikabidhi gari la wagonjwa kwa Mwenyekiti wa Kata ya Nzega ndogo, William Jumanga kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na mgonjwa Agnes Nobert aliyekuwa amelazwa katika Zanati ya Zogolo baada ya kutembelea juzi wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata ya Nzega ngodo kabla ya kuwakabidhi gari la wagonjwa juzi
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, akionyesha gari la wagonjwa alilolikabidhi kwa viongozi wa Kata ya Nzega ndogo kwa ajili ya Zahanati ya Zogolo iliyopo wilayani Nzega mkoani Tabora juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mjini wa Nzega baada ya kukagua ujenzi wa Sekondari ya Nzega ndogo juzi.
Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), akizungumza na wasimamizi wa ujenzi wa barabara ya Ngudu iliyopo Kata ya Ngeza ndogo mkoani Tabora juzi. Picha na Fidelis Felix.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad