HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 1, 2017

RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UJUMBE WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFDB)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Bi Lekhethe Mmakgoshi kutoka Afrika Kusini akiongoza Ujumbe wa Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wanaofanyakazi zao ndani na nje ya Bara la Afrika mara walipofika Ikulu Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wanaofanyakazi zao ndani na nje ya Bara la Afrika unaoongozwa na Bi Lekhethe Mmakgoshi kutoka Afrika Kusini (wa pili kulia) walipofika Ikulu Mjini Unguja leo (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad