Eneo la Bamaga jijini Dar es salaam, likiwa limejaa maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya mji huu.
Kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa jijini Dar es salaam leo, soko la Sinza limelazimika kufungwa kwa muda kutoka na kujaa maji eneo lote la soko hilo.
Leo huduma haita patikana hapa.
Haya shtuaaaa.......
No comments:
Post a Comment