HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 17, 2017

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA PLC

Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu,alipokuwa akiwafafanulia jambo wakati   kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi  makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali  zinazofanywa na kamapuni hiyo.
 Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge,Mhe Anna Lupembe (katikati)akifurahia jambo na Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu(kushoto)na Mkuu wa kitengo cha Uendeshaji wa Mtandao Andrew Lupembe, wakati   mwanakamati huyo na wenzake walipofanya ziara ya kikazi  makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali  zinazofanywa na kamapuni hiyo.
 Baadhi ya wajumbe wa  kamati ya kudumu ya Bunge wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha Undeshaji wa Mtandao wa Vodacom Tanzania PLC, Andrew Lupembe,alipokuwa akiwafafanulia jambo wakati   kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi  makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali  zinazofanywa na kamapuni hiyo.
 Mwenyekiti wa kamati ya  kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Miundombinu Mhe.Prof Norman Sigalla (katikati)akisisitiza  jambo kwa Uongozi wa Vodacom Tanzania PLC wakati   kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi  makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali  zinazofanywa na kamapuni hiyo,kushoto  ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani  na Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Alec Mulongo.
Kaimu Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC,Alec Mulongo akimsomea waraka wa matarajio (Prospectus) Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya miundombinu, Mhe.Prof Norman Sigalla wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kikazi  makao makuu ya kampuni ya hiyo Mlimani city jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kujifunza na kujionea shughuli mbalimbali  zinazofanywa na kamapuni hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad