HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 20, 2017

WAFANYABIASHARA WA UJERUMENI WAONYESHA NIA YA KUWEKEZA NCHINI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford Tandari akizungumza wakati wa mkutano wake na ujumbe wa baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani, waliotembelea Kituo hicho ili kuona fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini. 

 Sehemu ya ujumbe wa wafanyabiasha kutoka nchini Ujerumani, ukiwa katika Mkutano na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuzungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji nchini.
 Kaimu Mkurugenzi wa Kukuza Uwekezaji wa TIC, Zacharia Kingu akizielezea fursa mbalimbali za uwekezaji zinazopatikana hapa nchini wakati wa Mkutano na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani, waliotembelea Kituo hicho ili kuona fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini. 






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad