HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 16, 2017

RICHARD MUYUNGI ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA IDARA YA MAZINGIRA KATIKA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Profesa Faustin Kamuzora amemteua Bwana Richard Muyungi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira katika Ofisi hiyo.

Awali Bwana Muyungi alikua ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais. Bwana Muyungi pia ni mjumbe wa Bodi ya Dunia ya mfuko wa mabadiliko ya tabianchi akiwakilisha Afrika. Pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri wa Marais wa Afrika kuhusu masuala ya mabadiliko ya tabianchi (CAHOSCC)

Uteuzi wa Bwana Muyungi umeanza mara moja tarehe 8/2/2017

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad