HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 6, 2017

MAKAMU WA RAIS WA JICA ATEMBELEA KITUO CHA UWEKEZAJI NCHINI LEO

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford  Tandari (wa nne kushoto) pamoja na Makamu Kiongozi wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA), Tomiyoshi Kenichi wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa JICA na TIC mara baada ya mkutano wao uliofanyika leo kwenye Kituo hicho. 
Makamu Kiongozi wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA), Tomiyoshi Kenichi akiongozana na ujumbe wake, wakati walipotembelea Kituo cha Uwekezaji nchini kitenge cha huduma za mahala pamoja, wakiongozwa na Mwenyeji wao, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford  Tandari (suti ya Bluu).
Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Uwekezaji wa TIC, Mathew Mnali akieleza jambo kwa Makamu Kiongozi wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA), Tomiyoshi Kenichi, alietembelea kituo hicho leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad