HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 15, 2017

ANNA ABDALLAH APONGEZWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA TGGA

Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto), akipongezwa na Kamishna Mkuu wa TGGA, Symphorosa Hangi (kulia) na Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro baada ya kuchaguliwa Dar es Salaam jana. (PICHA ZOTE NA NA RICHARD MWAIKENDAKAMANDA)
Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto),Kamishna Mkuu wa TGGA, Symphorosa Hangi (kulia) na Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro wakipiga makofi wakati wa mkutano huo wa kumtambulisha Anna. 
Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto), akipongezwa na Mjumbe wa Bodi hiyo, Zakia Meghji.
Katibu wa Taifa wa TGGA, Grace Shaba (kulia) akimpongeza Anna Abdallah
Mary akimpongeza Anna Abdallah
Wakiwa na furaha kutoka kushoto ni Grace Makenya, Anna Abdalah, Profesa Martha Qorro na Hangi
Baadhi ya Girl Guids wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad