HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 23, 2017

WAFANYABIASHARA WA UTURUKI WAZURU SOKO LA SAMAKI FERI, JIJINI DAR

Baadhi ya wageni kutoka nchini Uturuki wakila Samaki aina ya Pweza katika Soko la Samaki feri walipozuru katika soko hilo kabla ya kwenda kwenye hafla iliyofanyika katika ikulu ya Magogoni.

Baadhi ya wafanyabiashra kutoka nchini utruki wakipiga picha sehemu ya maanzari ya soko la Samaki Feri kabla ya kuingia katika mkutano na Rais Magufuli ikulu ya Magogoni.


Mmoja wa wageni kutoka nchini Uturuki akiulizia bei ya vifaa vya mapambo ya bahari kwa mchuuzi wa samaki feri.

Kundi la Wafanyabishara na wanahabri wakiwasili katika soko la Samaki Feri.
wauza Samaki wakiwa katika mnda wa Samki katika eno la mauzo sokoni hapo.

Boti ya uvuvi ikiwasili katika soko la Samaki Feri kwa ajili ya kupakua Samaki.
Mchuuzi wa Samaki wa soko la Samaki fery akipara samaki aina ya Songoro kwa ajili ya kupeleka mtaani kuuzwa.

Wafanyabiashara wa Samaki wa soko la Samaki Feri wakipara Samaki.

Mmoja ya Mwandishi wa habari kutoka nchini uturuki akiuliza maswali kwa muuzaji wa Samaki wa soko la Samaki feri jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad