HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 31, 2017

BALOZI KAIRUKI ATEMBELEA TIC LEO

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Clifford Tandari akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini China, Balozi Mbelwa Kairuki wakati alipokwenda kumtembelea ofisini kwake, leo Januari 31, 2017 ambapo walifanya Mkutano wao wa kuhakikisha Uwekezaji zaidi wa makampuni kutoka China haswa katika ujenzi wa Viwanda unakuzwa ili kuendana na Agenda kuu ya awamu ya Tano ya Uwekezaji katika viwanda ili kuongeza ajira na kupanua wigo wa kodi. Kituo cha Uwekezaji kiliahidi kutoa ushirikiano kwa balozi huyo ili kuhakikisha kuwa juhudi zetu za kuitangaza Tanzania kwa Wawekezaji wa nchini China zinafikiwa kwa haraka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad