Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Kikosi cha Yanga leo hii kimefanya mazoezi yake ya mwisho kwenye Uwanja wa Uhuru tayari kwa safari hapo kesho kuelekea Visiwani Zanzibar kwenye Michuano ya kombe la Mapinduzi.
Kikosi cha Yanga kitaondoka kesho na boti ya saa tisa alasiri kuelekea visiwani huko wakiwa na msafara wa wachezaji 26 pamoja na benchi la ufundi huku mechi ya kwanza Yanga SC itachezwa saa 2.30 usiku dhidi ya Jang'ombe Amani Stadium.
Yanga SC inamkosa Vicente Bossou aliyekwenda nchini Senegal kujiunga na timu yake ya taifa ( Togo ) kwa ajili ya michuano ya AFCON inayoanza January 14, 2017.
Mechi ya kwanza Yanga SC watacheza saa 2.30 usiku dhidi ya Jang'ombe Amani Stadium.
Orodha ya wachezaji wanaokwenda Zanzibar katika mashindano hayo;
Makipa
1. Deogratius Munishi
2. Beno Kakolanya
3. Ali Mustafa
Walinzi
4. Nadir Haroub
5. Pato Ngonyani
6. Vicent Andrew
7. Hamisi Hassani
8. Mwinyi Haji
9. Kelvin Yondani
10. Juma Abdul
11. Oscar Joshua
Viungo
12. Haruna Niyonzima
13. Justin Zullu
14. Saimoni Msuva
15. Juma Mahadhi
16. Geofrey Mwashuiya
17. Deusi Kaseke
18. Saidi Juma
19. Thabani Kamusoko
20. Yusuph Mhilu
Washambuliaji
21. Donald Ngoma
22. Amisi Tambwe
23. Emanuel Martin
24. Obrey Chirwa
25. Mateo Anthony
26. Malimi Busungu
No comments:
Post a Comment