HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 1, 2016

MADALALI NHC WATOA NJE VYOMBO VYA GAZETI LA TANZANIA DAIMA LEO KWA KUSHINDWA KULIPA KODI

Mapema asubuhi ya leo, watu wanaodaiwa kuwa ni Madalali wa Shirika la nyumba la Taifa (NHC) wamefika ofisi za Gazeti la kila siku la Tanzania Daima zilitopo katika makutano ya Mtaa wa Mkwepu na Indraghand na kuwatolea vyombo vyote nje kufuatia deni la muda mrefu la kodi ya pango wanalodaiwa bila kulipwa. Mhariri Mtendaji wa Gazeti hilo, Neville Meena amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa wako kwenye Msukosuko mkubwa sana sasa ila wanafanya jitihada za kukabiliana na hali hiyo ili kuhakikisha uzalishaji wa gazeti unaendelea kufanyika kama kawaida.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Gazeti hilo wakiwa nje ya Ofisi huku wakitafakari namna ya kufanya.
Vyombo vya Ofisi hiyo vikiwa nje.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad