Waziri
wa Maji na Umwagiliaji Mh Gerson Lwenge akipata maelezo mafupi ya
huduma ya DAWASCO kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO, Mhandisi
Cyprian Luhemeja wakati alipotembelea banda la Shirika hilo
leo.
Waziri
Lwenge akipata maelezo ya upimaji wa ubora wa maji kutoka kwa Afisa
Ubora wa Maji wa DAWASCO, Sinza Mongela alipotembea Banda la shuirika
hilo leo.
No comments:
Post a Comment