HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 17, 2016

JOTO LA ASUBUHI LAPAMBA MOTO NA WASANII WA SINGELI LIVE KARIAKOO.

Kipindi cha Joto la Asubuhi cha EFM redio kinacho tangazwa na Gerald Hando, PJ na Adela Tilya kinachorushwa live kila mwisho wa wiki katika maeneo mbalimbali, leo siku ya Ijumaa ya tarehe 17/06/2016 kimewafikia wakazi wa Kariakoo huku kikiambatana na burudani kabambe kutoka kwa wasanii wa Singeli kama, Sholo Mwamba na Majid Migoma.
 Msanii Sholo Mwamba akiwaburudisha mashabiki wa Efm redio katika kipindi cha JOTO LA ASUBUHI Kariakoo.
 Watangazaji wa kipindi cha JOTO LA ASUBUHI, Gerald Hando, PJ na Adela Tilya wakijianda kutangaza live kipindi hicho live.

  Mashabiri wa 93.7 Efm Joto la Asubuhi ambao walifika asubuhi na mapema kwa ajili ya kushuhudia kipindi hicho live kutoka Kariakoo.
Mashabiki wa Kariakoo wakisikiliza kipindi cha Joto la asubuhi live.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad