Meneja wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee, Devotha Rubama (katikati) akisalimiana na Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kuisaidia taasisi Tushikamane Pamoja jijini Dar es Salaam jana (kulia) ni Meneja Mahusiano na Mauzo wa Toyota Tanzania, Kadiva William. Taasisi ya Karimjee Jivanjee ilichangia shilingi milioni 10.
Meneja wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee, Devotha Rubama (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi Mwenyekiti wa Taasisi ya Tushikamane Pamoja inayoshughulika na kutoa huduma kwa wazee, Rose Mwapachu wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kuisaidia taasisi hiyo jijini Dar es Salaam jana (katikati) ni Meneja Mahusiano na Mauzo wa Toyota Tanzania, Kadiva William.
No comments:
Post a Comment