HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 19, 2015

UCHAMBUZI WA MAGAZETI SEPTEMBER 19

TBC: Pinda afanya mazito kijijini alipotoka. Pata habari motomoto za kisiasa na kijamaa kama zilivyoandikwa katika magazeti ya leo;  https://youtu.be/pXQgstDxF7s

STAR TV: Polisi yauwa majambazi hatarI Arusha.habari hii utaipata kwa undani katika magazeti ya leo Septemba 19,2015 hapa Simu.tv; https://youtu.be/PbVzoDFIX3U

Ch 10:Dkt Shein asema tutawachangia lishe watoto wa skuli za msingi, Bundi aliyepita CHADEMA , CUF ahamia NCCR.;https://youtu.be/AUX5c2QsVu0

AZAM TV: JKT Ruvu, Yanga patashika leo uwanja wa taifa, Ngoma asema atawafunga mpaka wakome. Pata dondoo za magazeti ya michezo.Simu.tv;  https://youtu.be/0RYEmHaf81s

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad