HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 9, 2015

SIARA LEONE WAZURU NHIF KUJIFUNZA JINSI YA KUNDESHA MFUKO HUO KATIKA NCHI YAO

 Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akiwa Wajumbe nchi hiyo  waliokuja kutembelea  Mfuko wa  Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) ili kujifuza na kwenda kutekeleza katika nchi yao  hafla hiyo imefanyika katika  ofisi za Makao Makuu  leo jijini Dar es Salaam.
 Afisa wa uanachama wa NHIF,Twahiru Hauke  akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Kazi Maalum wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Siera leone,Mohamed Godoe walipotembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba (Mwenye Tai nyekundu) akipewa maelezo na Msimamizi wa Mifumo ya Komputa  wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jinsi ya kuhifadhi  nyaraka za wananchama wa NHIF  walipotembelea  leo ofisi za Makao Mkuu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo jijini Dar es Salaam.4
 Mkurugenzi wa Masoko wa NHIF ,Rehan Athuman akizungumza na waandishi wa habari juu ya ugeni waliopokea kutoka  nchini Siara leone leo katika ofisi za Makao Makuu ya NHIF jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Kazi na Hifadhi ya Jamii wa Siara leone,Dk.Mathew Teamba akizungumza na waandishi wa habari juu ziara ya kutembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF walipofika katika Makao Makuu ya leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad