HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 18, 2015

MSUBA UNAHITAJI MSOSI WANGUVU.......

Kamera ya mtaa kwa mtaa ilipo chomoza kwenye kiota kimoja cha marasta wawili(majina yao kapuni)  walio kuwa wakijibusti na kitu cha msuba huku wakipiga msosi wa nguvu, walipo zungumza na mtaa kwa mtaa blog waliseme msuba unapo uvuta huwa unafanya mwili unyong'onyee kwani unapo tumia kitu cha msuba lazima uwe na nguvu za kutosha.picha na mtaa kwa mtaa blog.
Lasta mmoja akionesha umaridadi wake wa kupiga pafu kwa kutoa zinga la moshiiiii.
Msosi kadri unavyo zidi kuisha na msuba pia ndivyo hivyo unavyo zidi kuishaa..
si mchezo hawa jamaa wanautumia vyemaa.
                                                "furu ki bwebwe yaniii."
wakisha maliza hapo sasa unajua ni nini kinacho fuata kwenye mitaa???

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad