HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 15, 2015

DOGO AKIWEKA SAWA MAGUNIA YA MKAA KWA KUYAPANGA KATIKA MUONEKANO MWANANA.

Dogo huyu mwenye jitihada zake binafsi katika swala zima la kujiongeza katika shughuli mbalimbali kuwasaidia wazazi shughuli za hapa na pale mapema leo alinaswa na kamera yetu ya mtaa kwa mtaa akijaribu kupanga magunia ya mkaa katika muonekano mzuri.picha na mtaa kwa mtaa blog.
hapa dogo akiojitutumua kunyanyua moja ya gunia la mkaa.
dogo akiendelea kuweka sawa magunia.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad