HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 5, 2015

DALADALA IKITAFUTA MAGONGO BAADA YA MGUU KUCHOMOKA.

 Mzee wa mtaa kwa mtaa bila kuchoka na kuendelea kunasa taswira mbalimbali zinazo tokea mtaani kwako ikabahatika kunasa taswira hizi za daladala namba (640) ikishughulikiwa katika harakati za kuwekwa mguu wa bandia baada ya mguu mmoja wa nyuma upande wa kulia kukata mfupa.
      huduma ya kubadirisha mguu ikiendelea katikati ya barabara mtaa wa                                                                 soweto jijini mbeya

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad