Haya ndio mambo ya mtaani bwana libeneke hili la mtaa kwa mtaa blog bila uchovu na nakuendelea kuku juza mambo yanayo jiri kitaani kila siku imebahatika kunasa taswira za vijana machachari waliojiajiri kwa ujuzi wao wa kukarabati vitoweo aina ya kuku mtaa wa nanii pale wakifanya yao.
"hapa ni mwendo mdundo tuu kwani wao waweze wana nini na mimi nishindwe ninanini mimi ndio kiboko ya kokolikoo hapa ni kuporomosha tuu kama maporomoko ya ziwa victoria"
wataaramu hawa wakiendelea kupiga danadana kuku bila kujari ubinaadamu kwa wateja wao.
No comments:
Post a Comment