HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 28, 2014

Mtaro ukipigwa sop sop

 katika pita pita za Mtaa kwa Mtaa Blog,leo imekatiza maeneo ya Msasani na kukutana na mdau huyu aliejitolea kupiga sop sop Mtaro uliokuwa umesheheni uchafu.hii ni bigi apu sana kwa mdau huyu na ni vyema watu wengine wakaiga mfano wake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad