Magari yakiwa yamesongamana mtaa wa Kasanga jirani na jengo la
Bavaria Keko jijini Dar es Salaam jana na kusababisha kufunga
barabara za eneo hilo na kupelekea usumbufu kwa watumiaji
wa barabara hiyo kutokana na jengo la GMC Heights kujenga
maegesho ya magari ambayo yamemega barabara
hiyo.Wafanyabiashara wa eneo hilo wamelalamikia sana magari ya
wafanyakazi waliopo ndani ya jengo hilo kuwa ndiyo wanayochangia msongamano huo hivyo wameshauri ofisi hiyo
ihamishiwe sehemu nyingine kwa kuwa hawana sehemu ya maegesho.
Deva wa gari akiwaelezea waandishi wa habari kero wanazopata katika mtaa huo.
Thursday, November 14, 2013
Home
Unlabelled
Kero ya Maegesho ya Magari eneo la Keko,jijini Dar
Kero ya Maegesho ya Magari eneo la Keko,jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

.jpg)
No comments:
Post a Comment