HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 28, 2013

WEKUNDU WA WA MSIMBAZI WALIPOKUBALI KICHAPO CHA BAO 2-1 KUTOKA KWA AZAM FC UWANJA WA TAIFA LEO


 Mashabiki wa Simba wakiwa wameduwaa huku wakifuatilia mchezo kati ya Simba na Azam FC.
Beki wa Azam FC, David Mwantika (kulia), akichuana na mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-1.
 Mshambuliaji wa Simba, Betram Mwombeki akiwatoka mabeki wa Azam FC.
 Ramadhani Singano (kushoto), akimtoka David Mwantika.
 Wachezaji wa timu ya Azam wakishangilia bao la pili la timu yao baada ya kuifunga Simba 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyikakwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-1.
 Kipa wa Azam FC, Mwadin Ali akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Sino Augustino.
Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher (kulia), akiwania mpira na wachezaji wa Azam FC, Kipre Tchetche na David Mwantika.(Picha na Francis Dande)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad