HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 4, 2013

bomoabomoa yaendelea kwa kasi makete mjini

Zikiwa zimesalia siku tano tu za wenye nyumba zilizopo kandokando ya barabara wilayani hapa kubomoa nyumba zao kwa hiari, kamera yetu imenasa picha zikionesha jinsi wakazi wa makete mjini wakiendelea kubomoa nyumba zao kupisha ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Makete mjini.(Picha na Edwin Moshi wa globu ya jamii, makete)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad