HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 28, 2013

RAIS SHEIN WA ZANZIBAR ZIARANI NCHINI UHOLANZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akifuatana na makamo wa Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bamdari ya Rotterdam nchini Uholanzi Rene Van Der Plas,wakati alipotembelea Bandari hiyo kuona Shuhuli mbali mbali za Kazi.
Baadhi nya Viongozi walioungana katika ujumbe wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakiwa katika Ofisi ya bandari ya Rotterdam Nchinbi Uholanzi wakiaptiwa maelezo mbali mbalim ya kiutendaji.Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad