Hii imetokea jana katika Barabara ya Mwai Kibaki jijini Dar ambapo hiyo Boga Boda ilikuwa ikipita upande wa kulia kutokea kwa Mwalimu kuelekea kawe,kwasababu ya kukosa umakini barabara,alijikuta akiiva Gari hiyo ya upande wa kulia ambayo ilikuwa ikikatisha kuelekea upande huo.
Thursday, August 8, 2013

Home
Unlabelled
Kutokuwa makini kwa waendesha boda boda hapa nchini,kwaendeleza majanga kwao
Kutokuwa makini kwa waendesha boda boda hapa nchini,kwaendeleza majanga kwao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment