Wakali wa Muziki wa Bongo Fleva,Hamis Mwinjuma a.k.a Binamu (shoto) na Ambwene Yessaya a.k.a AY wakiwa na Mkali mwenzao toka nchini Nigeria,J. Martin wakati walikuwa studio kurekodi ngoma yao kali na iliyoanza kushika kasi hapa nchini inayofahamika kama BILA KUKUNJA GOTI.hebu bofya kitufe hapo chini kusikiliza ngoma hiyo.
Monday, July 1, 2013

Home
Unlabelled
Cheza Cheza Bila kukunja Goti: AY,FA na J. Martin ni moto wa kuotea mbali
Cheza Cheza Bila kukunja Goti: AY,FA na J. Martin ni moto wa kuotea mbali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment