HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 4, 2013

SAIGON Pub wanyakua ubingwa wa mashindano ya Nyama Choma Mkoa wa Mbeya

Wafanyakazi wa Bar ya Saigon na mashabiki wakishangilia huku wakiwa wamembeba mpishi Mkuu wa Bar hiyo,Joseph Aluta mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Safari Lager Nyama Choma Mkoa wa Mbeya yaliyofanyika katika viwanja vya CCM Iromba mwishoni mwa wiki. 
Mkuu wa Wilaya wa Rungwe Mkoani Mbeya,Chrispin Meela (kulia)akimkabidhi kitita cha shilingi milioni moja Mpishi Mkuu wa Bar ya Saigon, Joseph Aluta mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Safari Lager Nyama Choma Mkoa wa Mbeya yaliyofanyika katika viwanja vya CCM Iromba mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Mkurugenzi wa Bar ya Saigon, Ally Mohamed na Meneja Mauzo wa rejareja wa Mkoa Mbeya, Michael Myinga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad