Eneo Posta barabara ya Jamuhuri eneo ubavuni mwa Supermarketi ya Imaraseko likiwa limefurika maji kufuatia kunyesha mvua kwa muda mfupi hali iliyosababisha usumbufu kwa watumiaji wa eneo hilo.
Watu mbalimbali wakipita kwenye dimbwi hilo la maji kwa kukanyaga juu ya kreti tupu za kuhifadhia Soda baada ya wajasiriamali kuziweka na kuwalipisha shilingi miamoja kwa kila mtu. |
Kazi kwelikweli vijana wabunifu! |
Mmoja wa vijana hao akiwazuia watu ili aweke vizuri vifaa vya kuvukia. |
Magari nayo yalionja karaha ya mvua! |
Eneo la Kariakoo nalo lilikumbwa na uhaba wa magari kutokana na mvua hiyo kusababisha magari mengi kuharibika na abiria kurundikana kwenye vituo vya mabasi. |
No comments:
Post a Comment