HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 26, 2013

Kwa Mama Ntilie mchana wa leo

 Mama ntilie akikorofisha nguna (Ugali) mchana wa leo katika mgahawa wake uliopo eneo la Namanga,Msasani jijini Dar es Salaam tayari kwa mlaji.
 Kitu cha Kabichi kikiandaliwa kwa ajili ya Mboga ya mgahawani hapo.
 Ugali ukifungwa kwenye Mifuko ili usipoe kwa haraka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad