HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 29, 2013

KUMBUKUMBU

Marehemu Mzee John P Sunga 

Ilikuwa kama ndoto lakini ni kweli yalitimia, tunaamini kimwili hauko nasi lakini kiroho u nasi. Tunakukumbuka daima mpendwa wetu. Upendo na ucheshi wako kwa familia hautasahaulika kamwe.

Ni mwaka mmoja sasa umepita tangu ulipotutoka mpendwa wetu Mzee John P Sunga. Unakumbukwa kipekee na mke wako Mama Sunga, watoto wako Dora, James, Calorine, Alan, Clement,Ngasa na wajukuu zako wote, ndugu jamaa na marafiki zako wote.

Raha ya milele umpe e bwana na mwanga wa milele umuangazie na apumzike kwa amani. Amina

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad