HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 18, 2013

Wazee wa Kazi wakiwa kwenye Mawindo

Wakati Mahabusu wakikosa haki ya kupelekwa mahakamani wilayani Ruangwa kwa kukosekana Mafuta ya gari la kuwachukua Magereza Nachingwea,Cha ajabu ni kwamba Mafuta ya kwenda umbali kama huo wa Nachingwea yapo kwa kwenda Kuvizia magari na pikipiki ili kujipatia ulaji yapo au mafuta yanapatikana hapo walipotega? Inatokea wakati mwingine Mfungwa akahukumiwa Ruangwa akakaa mahabusu ya Polisi Ruangwa kwa takriban siku tatu kabla ya kupelekwa Magereza.Wizara na Jeshi la Polisi Makao Makuu Tupieni macho Polisi Ruangwa na suala la Mafuta wakati mwingine ushindwa kuwahi tukio kwa sababu ya eti Magari yao hayana Mafuta.Ruangwa ina matukio mengi ya kujichukulia sheria Mikonini ikiwamo mauaji na ujambazi.Picha na Mdau Abdulaziz,Lindi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad