HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 31, 2012

MANISPAA YA KINONDONI MNACHEFUA!

Shehena ya takataka zikiwa zimerundikwa eneo la Bakhresa Manzese jijini Dar es Salaam, bila ya kuondolewa na kuchafua hali ya hewa ya eneo hilo huku wahusika wakipita bila ya kujali.

Lakini pamoja nakuwepo kwa mrundikano huo wa takataka bado wafanyabiashara wa malori wanaendelea kukaa hapo kwani ndio kijiwe chao na hawajui hatua yoyote ya kuchukua.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad