HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 14, 2012

KAMERA YA MTAA KWA MTAA JIJINI DAR.

Wakati tahadhari zikitolewa na malaka ya hali ya hewa juu ya kuwepo kwa wasiwasi wa kunyesha mvua zisizotarajiwa mitaro yetu ya maji taka iko kwenye hali hii hapa ni eneo la karibu kabisa na Ubungo mataa kama ilivyonaswa na kamera yetu leo.
Hawa wafanya biashara kulikoni Ubungo? wameshindikana au? hata mbuyu ulianza kama mchicha watarudi tena wahusika wasipojipanga.

Tuta hili la mchanga kwenye mto msimbazi eneo la Kigogo halina sababu yakuendelea kuwepo wahusika liondoeni!
Yaleyaleeeee! Gereji katikati ya barabara ni kwenye bonde la Kigogo kuelekea Msimbazi Center.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad