HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 10, 2012

TAPELI ASHUSHIWA KIPIGO CHUO CHA SAUT.

Wanafunzi wa Chuo Cha SAUT wakimuhoji mtuhumiwa wa Utapeli ambae alitambulika kwa jina la Ezekiel John, huku akitokwa na damu baada ya kushushiwa kipigo na wanafunzi hao.
Akiondolewa eneo la tukio na kupelekwa polisi kwa hatua zaidi za kisheria.

Akionyesha hati zake na barua feki ambazo zote zina utata na huzitumia kufanyia utapeli huo.
Akijieleza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad